Wednesday, January 16, 2013

MALINZI, NYAMLANI WAUVAA URAIS TFF

 Jamal Malinzi akishuka kwenye gari na kwenda Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua fomu za kuwania urais wa shirikisho hilo.

 Athuman Nyamlani akihesabu kitita cha sh. 500,000, kwa ajili ya kuchukua fomu kuwania urais

Malinzi akijaza fomu za kuwania urais wa TFF (Picha kwa hisani ya www.bongostaz.blogspot.com), Thanks my brother Mahmoud Zubeiry.

No comments:

Post a Comment