Friday, December 21, 2012

AT LAST UPELELEZI UMEKAMILIKA

MSANII maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu', anayekabiliwa na mashitaka ya kumuua aliyekuwa msanii mwenzake, Steven Kanumba, akisindikizwa na askari kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana, kuendelea na kesi hiyo ambapo upelelezi wa kesi hiyo umekamilika. 

 

 

 

 

 

 


No comments:

Post a Comment